2 Corinthians 10:2-3

2 aNawaomba nitakapokuja kwenu nisiwe na ujasiri dhidi ya watu fulani, kama ninavyotazamia kwa wale wanaodhani kwamba tunaishi kwa kufuata namna ya ulimwengu huu. 3 bIngawa tunaishi duniani, hatupigani vita kama ulimwengu ufanyavyo.
Copyright information for SwhKC